arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Aunt Ezekiel alivyopigika k ...
» ZITO LAIBUKA
» KIGOGO WA MURO NAYE KUKAMAT ...
» GLOBAL PUBLISHERS MUSIC PLA ...
» JERRY MURO AKOSWA RISASI
» Kigogo afanyiwa umafia
» JERRY: NASAKWA NIUAWE!
» MELODY, SUPER SHINE WAV ...
» Sinza ngono tupu
» NASMA AFARIKI DUNIA!
» Babu Seya abanwa gereza ...
» AUNT EZEKIEL TAABANI
» KESI YA MAHALU KUENDESH ...
» Masikini Mpakanjia!

 

HII AJALI KWELI AU ZENGWE?

Videos  
Ajali hii ilitokea nchini Uingereza ambapo dereva wa lori kubwa la mafuta lililokuwa linakwenda kwa spidi ya kilomita 96 kwa saa anadaiwa kutogundua kuwa alikuwa akiliburuza gari dogo aliloligonga ambalo lilinasa kwenye boneti lake la mbele.
Bonyeza PLAY kushuhudia mwenyewe ajali hiyo ya kushangaza...


    (21 March 2010)
Views: 16 | Maoni (0) |

 

KUJIANDIKISHA, KUPIGA KURA NI FURSA ADIMU: UKIFANYA KOSA UTAIJUTIA

Habari mbalimbali  
KUJIANDIKISHA, KUPIGA KURA NI FURSA ADIMU: UKIFANYA KOSA UTAIJUTIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (kulia), pamoja na Mama Salma Kikwete(katikati), wakijiandikisha kama wapiga kura katika kijiji cha Msoga, Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani, Machi 3, 2010.

Na Walusanga Ndaki

UBORESHAJI wa Daftari la Wapiga Kura nchini kwa jiji la Dar es Salaam unaanza tarehe 22 Machi, mwaka huu Jumatatu kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)...
    (21 March 2010)
Views: 28 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

NANI MKALI KATI YA HAWA MAKOCHA? LEO FAINALI

photos  
NANI MKALI KATI YA HAWA MAKOCHA? LEO FAINALI

Baada ya Kocha wa Simba Mzambia, Patrick Phiri kuiwezesha klabu hiyo kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom, huku Kocha wa Yanga Kosta Papic akionekana kuleta mapinduzi katika soka la wachezaji wa Yanga, kumeibuka ushindani kwa mashabiki kuwa nani ni mkali kati yao...
    (21 March 2010)
Views: 265 | Maoni (16) | Soma Zaidi

 

TWIGA STARS YAIBUKA KIDEDEA

photos  
Timu ya taifa ya wanawake ya mpira wa miguu ‘Twiga Stars’ jana ilipata nafasi ya kusonga mbele kwenye michuano ya kutafuta nafasi ya kushiriki michuano ya Kombe la Mataifa Huru ya Afrika baada ya kutoka sare ya bao 1-1 na Ethiopia, katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

Awali timu hizo zilikipiga nchini Ethiopia, ambapo Twiga Stars iliibuka na ushindi wa mabao 3-1, hivyo sare ya jana iliifanya Twiga kuongoza kwa ushindi wa jumla ya magoli 4-2, na hivyo kusonga mbele katika michuano hiyo ambapo sasa inatarajiwa kumenyana na Eritrea.


TWIGA STARS YAIBUKA KIDEDEA
Kikosi cha Twiga Stars kilichoiua Ethiopia.

TWIGA STARS YAIBUKA KIDEDEA
Kikosi cha Ethiopia kilichochapwa.

TWIGA STARS YAIBUKA KIDEDEA
Sehemu ya mashabiki walihudhuria mpambano huo.

TWIGA STARS YAIBUKA KIDEDEA
Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, George Mkuchika (mwenye suti)

TWIGA STARS YAIBUKA KIDEDEA
Kiungo mshambuliaji wa Twiga Stars, Ester Chabruma a.k.a Lunyamila (kulia) akimtoka kwa staili ya kumruka beki wa Ethiopia, Tiruanch Imengsha Sisay.

TWIGA STARS YAIBUKA KIDEDEA
Beki na Nahodha wa Twiga Stars, Sophia Mwasikili (katikati) akiwadhibiti washambuliaji wa Ethiopia, Eden Shiferaw Negeri (kushoto) na Semira Kemar Aman.

TWIGA STARS YAIBUKA KIDEDEA
Ester Chabruma wa Twiga Stars akimtoka Semira Kemar Aman.

TWIGA STARS YAIBUKA KIDEDEA
Wachezaji hawa wa Simba na Yanga, nao walikuwepo Uwanjani kushuhudia mtanange huo, kutoka kushoto ni golikipa wa Simba, Juma Kaseja, Kiungo wa Yanga, Nurdin Bakari na Mshambuliaji wa Simba, Mussa Hassan Mgosi.

TWIGA STARS YAIBUKA KIDEDEA
Wachezaji wa Twiga Stars, wakishangilia baada ya kupata bao.

TWIGA STARS YAIBUKA KIDEDEA
Polisi ilibidi waingie uwanjani baada ya Ethiopia kuanza kufanya fujo wakikataa bao walilofungwa, mpaka mwisho wa mchezo matokeo yalikuwa ni sare ya 1-1.

TWIGA STARS YAIBUKA KIDEDEA
Wachezaji wa Ethiopia wakilia baada ya kufungwa na mpira kumalizika.

TWIGA STARS YAIBUKA KIDEDEA
Waziri wa Maendelea, Jinsia, Wanawake na Watoto, Margreth Sitta (mwenye cheni) akiwa na tabasamu pamoja ya kikosi cha Twiga baada ya ushindi huo.

PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS /GPL
    (21 March 2010)
Views: 41 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

KIDUMU AIBUKIA ACADEMY KUNDUCHI

photos  
KIDUMU AIBUKIA ACADEMY KUNDUCHI
..mwanamuziki aliyejipatia umaarufu afrika mashariki katika siku za karibuni, Kidumu, usiku wa kuamkia leo aliibukia academy ya wadau wa muziki iliyoko Kunduchi Beach Hotel na kutoa burudani fupi kwa kuimba wimbo wake wa Haturudi Nyuma kwa kushirikiana na kundi la THT lililokuwa likitoa burudani.
KIDUMU AIBUKIA ACADEMY KUNDUCHI
...Kidumu (kati) akiwa na Saida Kessy wa Clouds FM akiwa na ankal michuzi
KIDUMU AIBUKIA ACADEMY KUNDUCHI
..wadau wa muziki wakiachia na burudani..

KIDUMU AIBUKIA ACADEMY KUNDUCHI
..Gadna G (kutoka kushoto), Ruge wakiongea na Kidumu huku MD wa One plus Comm, Fina Mango (kulia) akisikiliza

KIDUMU AIBUKIA ACADEMY KUNDUCHI
...wasanii wa THT wakitoa burudani..

KIDUMU AIBUKIA ACADEMY KUNDUCHI
..msanii wa THT Dogo Ditto (kulia) akimpelekesha kwa burudani Lady Hanifa wa Radio One/ITV

KIDUMU AIBUKIA ACADEMY KUNDUCHI
... mdau na mlezi wa wasanii Tanzania, Dotnata (kushoto), akiwa na Mumewe Shaaban Posh (kulia) na ankal michuzi
PICHA: Abdallah Mrisho/GPL
    (21 March 2010)
Views: 9 | Maoni (0) |

 

UJAMBAZI WA KUTISHA DSM

photos  
Ndugu Wanabidii kumezuka Ujambazi wa ajabu hapa Jijini Dsm.
Juzi tarehe 17//3/2010 Jirani yangu alikwenda Benki kuchukua
pesa majira ya saa 10:00 jioni Mjini.
Baada ya kuchukuwa pesa zake alielekea kituo cha Basi kusuburi
Basi. Akiwa kituoni hapo akashtukiwa mama mmoja anamfuata na kusema
ndiye huyu. Wakajitokeza na wanaume wengine wakamkamata yule mama akasema
    (20 March 2010)
Views: 484 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

WADAU WACHANGIA MADA KUHUSU CATEGORIES

photos  
WADAU WACHANGIA MADA KUHUSU CATEGORIES
..David Minja kutoka TBL akifafanua jambo kufuatia hoja zilizotolewa na wadau wakati wa kujadili categories na vigezo

WADAU WACHANGIA MADA KUHUSU CATEGORIES
..Mpoki wa Orijino Komedi nae ni miongoni mwa wadau wa semina ya leo

WADAU WACHANGIA MADA KUHUSU CATEGORIES
..Efraim Mafuru kutoka Vodacom, (kulia), wadau Hartman, Abdul Tall na Khadija Kalili kutoka Tanzania Daima

WADAU WACHANGIA MADA KUHUSU CATEGORIES
...wadau wa muziki kutoka kushoto: Baucha wa Baucha Records, Mkallah Fundikira kutoka Royal Production na Raphael Chambo 'DJ Rachy' kutoka Club La casa Chika, Tanga.

WADAU WACHANGIA MADA KUHUSU CATEGORIES
..ankal Michuzi (kushoto) akiwa na mdau Mboni Masimba ndani ya semina

PICHA: Abdallah Mrisho_Kunduchi/GPL
    (20 March 2010)
Views: 13 | Maoni (0) |

 

SEMINA NDANI YA KUNDUCHI BEACH HOTEL MCHANA HUU

photos  
Mchana huu kunafanyika semina ya kuanza mchakato wa kuwatafuta wasanii bora wa muziki wa kizazi kipya na wasanii wengine wa Tanzania (Tanzania Music Awards 2010). zifuatazo ni baadhi ya picha za wadau wanaohudhuria semina hii:

SEMINA NDANI YA KUNDUCHI BEACH HOTEL MCHANA HUU
Kunduchi Beach Hotel..lango kuu

SEMINA NDANI YA KUNDUCHI BEACH HOTEL MCHANA HUU
...ndani ya ukumbi wa semina

SEMINA NDANI YA KUNDUCHI BEACH HOTEL MCHANA HUU
..Frank Mtao (kulia) kutoka Two Eyez production

SEMINA NDANI YA KUNDUCHI BEACH HOTEL MCHANA HUU
..Salma Msangi (kushoto) mtangazaji wa Channel ten

SEMINA NDANI YA KUNDUCHI BEACH HOTEL MCHANA HUU
..watangazaji wa TV na Redio ..Sauda Mwilima (kushoto), Maimartha Jesse (kulia), Dina Marios (kushoto mwa Sauda).

SEMINA NDANI YA KUNDUCHI BEACH HOTEL MCHANA HUU
..Dotnata (kushoto) na Dina wakipeana michapo..

SEMINA NDANI YA KUNDUCHI BEACH HOTEL MCHANA HUU
..Matangazaji wa Clouds FM B12(kushoto) na Luca, kutoka mtandao na jarida la Bongo5

SEMINA NDANI YA KUNDUCHI BEACH HOTEL MCHANA HUU
...Mtangazaji wa Radio One, Millard Ayo (kushoto), Sauda na Dotnata

PICHA: Abdallah Mrisho/GPL
    (20 March 2010)
Views: 13 | Maoni (1) |

 

KIDUMU APAGAWISHA MASHABIKI SUN CIRRO CLUB

photos  
Mwanamuziki wa kizazi kipya kutoka nchini Burundi ambaye zaidi shughuli zake za muziki anazifanyia nchini Kenya, Amosozi V’urukundo ‘Kidumu’ usiku wa kuamkia leo alifanya makamuzi ya hatari ndani ya Club Sun Cirro ya jijini Dar es Salaam na kuwapagawisha vilivyo mashabiki waliofurika ukumbini hapo. Kidumu yupo nchini tangu jana na aliletwa Bongo kwa udhamini wa Hartman Production na EATV.

KIDUMU APAGAWISHA MASHABIKI SUN CIRRO CLUB
Kidumu akifanya makamuzi yake ndani ya Club Sun Cirro usiku wa kuamkia leo.

KIDUMU APAGAWISHA MASHABIKI SUN CIRRO CLUB
Baadhi ya waimbaji wake wakionesha uwezo wa kukata nyonga katika onesho hilo.

KIDUMU APAGAWISHA MASHABIKI SUN CIRRO CLUB
Mmoja kati ya mashabiki ‘waliotia maguu’ ukumbini hapo akipewa mic na Kidumu ili ajaribu kuimba wimbo wowote anaoufahamu.

KIDUMU APAGAWISHA MASHABIKI SUN CIRRO CLUB
Baadhi ya Mashabiki waliohudhuria shoo hiyo wakichizika kwa burudani zilizokuwa zikitolewa na msanii huyo.

KIDUMU APAGAWISHA MASHABIKI SUN CIRRO CLUB
Kidumu akipiga drum kwa utaalamu wa hali ya juu huku akiimba,kitu kilichozidi ‘kuwamaliza’ mashabiki wake.

Picha: Musa Mateja/GPL
    (20 March 2010)
Views: 18 | Maoni (1) |

 

DAR KILA SIKU SIKUKUU

photos  
DAR KILA SIKU SIKUKUU
Wakazi hawa wa jiji la Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo wamenaswa na kamera yetu wakiserebuka katika onesho la Bendi ya Akudo Impact, lililofanyika katika Ukumbi wa Mango Garden uliopo Kinondoni, jijini Dar kama vile wako kwenye sikukuu.

ZE BINGWA NA KIBEGI CHA MTOTO JUKWAANI
DAR KILA SIKU SIKUKUU
Rapa wa Bendi ya Akudo Impact, Totoo Ze Bingwa usiku wa kuamkia leo amenaswa na kamera yetu akipanda jukwaani na kibegi cha mtoto, staili ambayo ilipondwa na baadhi ya mashabiki na kusema huo ni ‘ubishoo’ usio na maana kwani atachakaza kibegi cha shule cha mtoto. Ishu hiyo ilikuwa ni ndani ya ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni kwenye onesho la Akudo.

BABA’AKE UTAIBWA
DAR KILA SIKU SIKUKUU
Njemba huyu alinaswa akiwa ameutandika usingizi wa pono kwenye kiti alichokuwa amekalia, katika onesho la Akudo lililofanyika usiku wa kuamkia leo.

PICHA: RICHARD BUKOS /GPL
    (20 March 2010)
Views: 22 | Maoni (1) |

 

Trafiki Dar wachangiana sh 10,000,000 kwa siku

Habari mbalimbali  
 Trafiki Dar wachangiana sh 10,000,000 kwa siku
• Ni matokeo ya 'mabao' ya sh 3000 wanayopiga daladala, teksi
RUSHWA ndogondogo za barabarani zimewanufaisha baadhi ya askari wa Usalama Barabarani, jijini Dar es Salaam (trafiki) ambao wanakusanya zaidi ya sh 10,000,000 kila siku kila mmoja, kutokana na mchezo wa kupokezana fedha (upatu) waliouanzisha hivi karibuni...
    (20 March 2010)
Views: 330 | Maoni (5) | Soma Zaidi

 

Mziray wa APPT Maendeleo kuwania urais mwaka huu

Habari mbalimbali  
Mwenyekiti wa APPT Maendeleo, Peter Mziray, amesema anajiandaa kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu...
    (20 March 2010)
Views: 14 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

MTUHUMIWA

risasi jumamosi  
MTUHUMIWA
Na Mwandishi Wetu
The Supermodel, aliye pia Miss Tanzania 10 Bora 2008-09 anayedaiwa kufanyiwa unyambilisi wa kubakwa kisha kupigwa picha chafu, anatengeneza kichwa cha habari kwa mara nyingine, hii ikihusu kukamatwa kwa mtuhumiwa wa ubakaji huu...
    (20 March 2010)
Views: 1268 | Maoni (8) | Soma Zaidi

 

Sajuki, Wastara

risasi jumamosi  
Sajuki, Wastara
Na Mwandishi Wetu
Ndugu Lawama, huo ni wimbo kutoka bendi marehemu ya Double M Sound, lakini una maana kubwa katika jamii zetu, na imethibitika kwenye ndoa ya wasanii wa filamu nchini, Juma Kilowoko ‘Sajuki’ na Wastara Juma kutokana na dhoruba zito linalowapiga...
    (20 March 2010)
Views: 939 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

Jamilah

risasi jumamosi  
Jamilah
Na Richard Bukos
Mrembo aliyewahi kuwa gumzo kupitia uhusiano wake wa kimapenzi na wanasoka wawili kwa nyakati tofauti, kipa timu ya Simba, Juma Kaseja na kiungo wa Yanga, Athumani Idd Chuji, zote za Dar es Salaam, Jamilah Hassan, hatimaye amechumbiwa...
    (20 March 2010)
Views: 481 | Maoni (1) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2 3 ... 762 763 764  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi



Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

 hit counter

counters

2008 © globalpublisherstz.com